TMA yadokeza uwepo wa Kimbunga Dikeledi

Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imejulisha umma uwepo wa Kimbunga Dikeledi katika Bahari ya Hindi mwambao wa pwani ya Msumbiji. Hata hivyo kutokana na ukaribu wa maeneo ambayo Kimbunga Dikeledi kipo sambamba na maeneo ya kusini mwa nchi yetu, upo uwezekano mdogo wa matukio ya vipindi vifupi vya mvua kubwa katika maeneo ya […]