Tanesco yatolea ufafanuzi taarifa ya kukosekana kwa umeme.

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limewatoa hofu wananchi kuwa maboresho yatakayofanyika kwanzia Februari 22-28 hayatafanyika kwa siku 6 mfululizo na hayatawaathiri wananchi kwa muda wote. Tanesco wametoa ufafanuzi kwa kusema “Tutakuwa na maboresho ya miundombinu yatakayofanyika katika kituo cha kupokea, kupoza na kusafirisha umeme cha Ubungo ambayo yanaweza kuathiri upatikanaji wa huduma ya umeme kwa […]