Rais Samia aongoza mkutano wa SADC-Organ

Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ambaye pia ni Mwenyekiti wa Asasi ya Siasa, Ulinzi na Usalama ya Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC-Organ) ameongoza mkutano wa dharura wa Wakuu wa nchi na Serikali wa Asasi uliofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam. Katika Mkutano huo wa dharura, Rais Samia ameshiriki na Rais wa […]