LHRC yataka masheikh waachiwe huru kama hakuna ushahidi.

Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kimeiomba Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuwaachia Masheikh 51 wanaoshikiliwa katika magereza tofauti tofauti kwa takriban miaka 10 sasa bila kufikishwa mahakamani ikiwa ni kinyume na katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 1977. LHRC inadai kuwa kitendo cha Jamhuri kuwafunga miaka yote hiyo bila kuwafikisha mahakamani […]