Mradi wa bwawa la Kidunda kumaliza tatizo la maji Dar-Es-Salaam.

Kaimu Ofisa Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA), Bw. Mkama Bwire amesema ujenzi wa mradi wa bwawa la Kidunda Mkoani Morogoro unatarajiwa kumaliza tatizo la maji Mkoa wa Dar-Es-Salaam. Mkama Bwire ameyasema hayo katika ziara ya jukwaa la wahariri (TEF) na waandishi wa habari kujionea maendeleo ya […]