Shirika la Maendeleo ya Petroli limeiomba Mamlaka ya Udhibiti na Huduma za Nishati na Maji (EWURA) kibali cha kujenga mtandao wa mabomba ya kusambaza gesi asilia katika nyumba 451 kata ya Mnazi Mmoja Mkoani Lindi.
Shirika la Maendeleo ya Petroli limeiomba Mamlaka ya Udhibiti na Huduma za Nishati na Maji (EWURA) kibali cha kujenga mtandao wa mabomba ya kusambaza gesi asilia katika nyumba 451 kata ya Mnazi Mmoja Mkoani Lindi.
Shirika la Maendeleo ya Petroli limeiomba Mamlaka ya Udhibiti na Huduma za Nishati na Maji (EWURA) kibali cha kujenga mtandao wa mabomba ya kusambaza gesi asilia katika nyumba 451 kata ya Mnazi Mmoja Mkoani Lindi.
Jiunge na jarida letu na ujihakikishie nafasi ya kufahamu habari muhimu, fursa za kipekee, na maudhui bora kabla ya wengine