Ligi ya mabingwa Ulaya kuendelea leo.

Raundi ya 16 bora ya ligi ya mabingwa barani Ulaya inatarajiwa kuendelea usiku wa leo katika viwanja mbalimbali barani Ulaya.

Raundi ya kwanza ya michezo hiyo inatarajiwa kuchezwa tarehe 4 na 5 pamoja na tarehe 11 na 12 ya mwezi wa 4.

Timu za Arsenal, Real Madrid, Atletico Madrid, Barcelona, Bayern Munich, Liverpool na Barcelona zinapewa nafasi yakubeba taji hilo.

Mshirikishe Mwingine

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Ligi ya mabingwa Ulaya kuendelea leo.

Raundi ya 16 bora ya ligi ya mabingwa barani Ulaya inatarajiwa kuendelea usiku wa leo katika viwanja mbalimbali barani Ulaya.

Raundi ya kwanza ya michezo hiyo inatarajiwa kuchezwa tarehe 4 na 5 pamoja na tarehe 11 na 12 ya mwezi wa 4.

Timu za Arsenal, Real Madrid, Atletico Madrid, Barcelona, Bayern Munich, Liverpool na Barcelona zinapewa nafasi yakubeba taji hilo.

Mshirikishe Mwingine

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *