Chapo aapishwa kuwa Rais mpya Msumbiji.

Daniel Chapo wa Chama tawala cha FRELIMO ameapishwa kuwa Rais wa Msumbiji katika hafla iliyofanyika jijini Maputo.

Rais Chapo ameahidi kuzingatia umoja na kuongoza juhudi za maendeleo kote nchini.

Viongozi wa nchi mbalimbali walijumuika katika hafla hiyo akiwemo Waziri Mkuu wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa aliyemuwakilisha Rais wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan.

Mshirikishe Mwingine

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Chapo aapishwa kuwa Rais mpya Msumbiji.

Daniel Chapo wa Chama tawala cha FRELIMO ameapishwa kuwa Rais wa Msumbiji katika hafla iliyofanyika jijini Maputo.

Rais Chapo ameahidi kuzingatia umoja na kuongoza juhudi za maendeleo kote nchini.

Viongozi wa nchi mbalimbali walijumuika katika hafla hiyo akiwemo Waziri Mkuu wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa aliyemuwakilisha Rais wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan.

Mshirikishe Mwingine

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *